14- Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah aliwaumba viumbe na akapanga mipango ambapo akawachukua watu wa upande wa kuume kwenye mkono Wake wa kuume na watu wa upande wa kushoto kwenye ule mwingine – na mikono Yake yote miwili ni ya kuume – kisha akasema: “Mimi siye Mola wenu?”[1]
Hadiyth ni nzuri na ameipokea Ibn Battwah katika “al-Ibaanah”.
[1] al-Ibaanah (227).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 20
- Imechapishwa: 19/06/2019
14- Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah aliwaumba viumbe na akapanga mipango ambapo akawachukua watu wa upande wa kuume kwenye mkono Wake wa kuume na watu wa upande wa kushoto kwenye ule mwingine – na mikono Yake yote miwili ni ya kuume – kisha akasema: “Mimi siye Mola wenu?”[1]
Hadiyth ni nzuri na ameipokea Ibn Battwah katika “al-Ibaanah”.
[1] al-Ibaanah (227).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 20
Imechapishwa: 19/06/2019
https://firqatunnajia.com/15-dalili-ya-kumi-na-mbili-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)