Swali 147: Je, inafaa kwa wafiwa wa maiti kujitengenezea chakula wenyewe[1]?
Jibu: Hapana vibaya kujitengenezea chakula wenyewe. Lakini wasiwapikie watu wengine.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/387).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 107
- Imechapishwa: 22/01/2022
Swali 147: Je, inafaa kwa wafiwa wa maiti kujitengenezea chakula wenyewe[1]?
Jibu: Hapana vibaya kujitengenezea chakula wenyewe. Lakini wasiwapikie watu wengine.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/387).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 107
Imechapishwa: 22/01/2022
https://firqatunnajia.com/147-je-inafaa-kwa-wafiwa-wa-maiti-kujitengenezea-chakula-wenyewe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)