Swali 144: Baadhi ya familia ya maiti wanakaa siku tatu. Ni ipi hukumu ya hilo[1]?
Jibu: Wakikaa ili watu waweze kuwapa mkono wa pole hakuna vibaya – Allaah akitaka – ili wasiwachoshe watu. Lakini wafanye hivo pasi na kuwatengenezea watu chakula.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/382).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 104
- Imechapishwa: 22/01/2022