12- Mwenye janaba kufanya Tayammum badala ya wudhuu´
Inafaa kwao wakati mwingine kufanya Tayammum badala ya wudhuu´ kutokana na Hadiyth ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ambaye amesimulia:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anapata janaba na akataka kulala basi anatawadha au anafanya Tayammum.”[1]
[1] Ameipokea al-Bayhaqiy (01/200) kupitia njia ya ´Uthmaan bin ´Aliy ambaye kapokea kutoka kwa Hishaam ambaye na yeye kapokea kutoka kwa baba yake. al-Haafidhw amesema:
“Mlolongo wa wapokezi wake ni mzuri.” (al-Fath (01/313)).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 117-118
- Imechapishwa: 10/03/2018
12- Mwenye janaba kufanya Tayammum badala ya wudhuu´
Inafaa kwao wakati mwingine kufanya Tayammum badala ya wudhuu´ kutokana na Hadiyth ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ambaye amesimulia:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anapata janaba na akataka kulala basi anatawadha au anafanya Tayammum.”[1]
[1] Ameipokea al-Bayhaqiy (01/200) kupitia njia ya ´Uthmaan bin ´Aliy ambaye kapokea kutoka kwa Hishaam ambaye na yeye kapokea kutoka kwa baba yake. al-Haafidhw amesema:
“Mlolongo wa wapokezi wake ni mzuri.” (al-Fath (01/313)).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 117-118
Imechapishwa: 10/03/2018
https://firqatunnajia.com/14-mwenye-janaba-kufanya-tayammum-badala-ya-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)