80- Sahl bin Mu´aadh bin Anas amesimulia kutoka kwa baba yake aliyeeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kufunza elimu basi analipwa mfano wa yule atakayeitendea kazi pasi na kupungua chochote katika thawabu za yule mtendaji.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Nzuri kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/143)
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
80- Sahl bin Mu´aadh bin Anas amesimulia kutoka kwa baba yake aliyeeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kufunza elimu basi analipwa mfano wa yule atakayeitendea kazi pasi na kupungua chochote katika thawabu za yule mtendaji.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah.
[1] Nzuri kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/143)
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/14-hadiyth-mwenye-kufunza-elimu-basi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)