as-Sufrah ni kitu kama usaha ambacho juu yake kunakuwa rangi ya manjano.
al-Kudrah ni kitu kama rangi ya maji machafumachafu yenye rangi ya kijivu.
Mwanamke akitokwa na rangi ya manjano au machafumachafu yenye rangi ya kijivu katika wakati wa ada yake, basi ataizingatia kuwa ni hedhi ambayo itachukua hukumu zake zilizotangulia. Rangi hii ikimtoka mwanamke mbali na ule wakati wa ada yake, basi haitozingatia chochote na atajizingatia kuwa ni msafi. Umm ´Atwiyyah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii umanjano na uchafuchafu wa kijivu baada ya kutwaharika kuwa ni kitu.”
Maneno haya hukumu yake ni yenye kurufaishwa kwa mujibu wa wanazuoni wa Hadiyth. Kwa sababu yanazingatiwa ni uthibitisho kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kinachopata kufahamika ni kwamba ile rangi ya kijivu na umanjano kabla ya twahara ni hedhi na inachukua hukumu yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 30
- Imechapishwa: 28/10/2019
as-Sufrah ni kitu kama usaha ambacho juu yake kunakuwa rangi ya manjano.
al-Kudrah ni kitu kama rangi ya maji machafumachafu yenye rangi ya kijivu.
Mwanamke akitokwa na rangi ya manjano au machafumachafu yenye rangi ya kijivu katika wakati wa ada yake, basi ataizingatia kuwa ni hedhi ambayo itachukua hukumu zake zilizotangulia. Rangi hii ikimtoka mwanamke mbali na ule wakati wa ada yake, basi haitozingatia chochote na atajizingatia kuwa ni msafi. Umm ´Atwiyyah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii umanjano na uchafuchafu wa kijivu baada ya kutwaharika kuwa ni kitu.”
Maneno haya hukumu yake ni yenye kurufaishwa kwa mujibu wa wanazuoni wa Hadiyth. Kwa sababu yanazingatiwa ni uthibitisho kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kinachopata kufahamika ni kwamba ile rangi ya kijivu na umanjano kabla ya twahara ni hedhi na inachukua hukumu yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 30
Imechapishwa: 28/10/2019
https://firqatunnajia.com/14-faida-kuhusu-hukumu-ya-rangi-ya-manjano-na-kijivu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)