Mipango na makadirio ni kitu kimethibiti katika Qur-aan na Sunnah. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَخَلَقَ كُلَّ شَيْءٍ فَقَدَّرَهُ تَقْدِيرًا
“Ameumba kila kitu akakikadiria kiwango cha sawasawa.”[1]
إِنَّا كُلَّ شَيْءٍ خَلَقْنَاهُ بِقَدَرٍ
”Hakika sisi Tumekiumba kila kitu kwa Qadar.”[2]
وَمَا تَشَاءُونَ إِلَّا أَن يَشَاءَ اللَّـهُ رَبُّ الْعَالَمِينَ
”Hamtotaka isipokuwa atake Allaah, Mola wa walimwengu.”[3]
Katika Sunnah ni Hadiyth ya Jibriyl pindi alipomwambia Mtume (Swall Allaahu ´alayhi wa sallam): “Nieleze kuhusu imani?” Akasema:
“Imani ni kumwamini Allaah, Malaika Wake, Vitabu Vyake, Mitume Yake, siku ya Mwisho na kuamini Qadar kheri na shari yake.”
[1] 25:02
[2] 54:49
[3] 81:29
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-il-Imaam Mujaddid Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab, uk. 32
- Imechapishwa: 04/03/2021
Mipango na makadirio ni kitu kimethibiti katika Qur-aan na Sunnah. Allaah (Ta´ala) amesema:
وَخَلَقَ كُلَّ شَيْءٍ فَقَدَّرَهُ تَقْدِيرًا
“Ameumba kila kitu akakikadiria kiwango cha sawasawa.”[1]
إِنَّا كُلَّ شَيْءٍ خَلَقْنَاهُ بِقَدَرٍ
”Hakika sisi Tumekiumba kila kitu kwa Qadar.”[2]
وَمَا تَشَاءُونَ إِلَّا أَن يَشَاءَ اللَّـهُ رَبُّ الْعَالَمِينَ
”Hamtotaka isipokuwa atake Allaah, Mola wa walimwengu.”[3]
Katika Sunnah ni Hadiyth ya Jibriyl pindi alipomwambia Mtume (Swall Allaahu ´alayhi wa sallam): “Nieleze kuhusu imani?” Akasema:
“Imani ni kumwamini Allaah, Malaika Wake, Vitabu Vyake, Mitume Yake, siku ya Mwisho na kuamini Qadar kheri na shari yake.”
[1] 25:02
[2] 54:49
[3] 81:29
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-il-Imaam Mujaddid Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab, uk. 32
Imechapishwa: 04/03/2021
https://firqatunnajia.com/14-dalili-ya-mipango-na-makadirio-kutoka-katika-qur-aan-na-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)