Kwa nini Khidhr hakumfuata Muusa (´alayhis-Salaam)?
Jawabu ni kwamba Muusa (´alayhis-Salaam) ujumbe wake haukuwa kwa watu wote. Ujumbe wake ulikuwa kwa wana wa israaiyl pekee na hakutumilizwa kwa kwa watu wote. Nyujumbe zao zilikuwa ni maalum kwa ajili ya watu wao. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mtume alikuwa akitumilizwa kwa watu wake maalum na nimetumilizwa kwa watu wote.”
Muusa (´alayhis-Salaam) alitumilizwa kwa wana wa israaiyl pekee na hakutumwa kwa watu wote. Kwa hivyo haitakiwi kusema kwamba Khidhr alitoka katika Shari´ah ya Muusa. Kwa sababu kimsingi ni kwamba hakuwa katika Ummah wa Muusa mpaka isemwe kwamba alitoka.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 179-180
- Imechapishwa: 07/03/2019
Kwa nini Khidhr hakumfuata Muusa (´alayhis-Salaam)?
Jawabu ni kwamba Muusa (´alayhis-Salaam) ujumbe wake haukuwa kwa watu wote. Ujumbe wake ulikuwa kwa wana wa israaiyl pekee na hakutumilizwa kwa kwa watu wote. Nyujumbe zao zilikuwa ni maalum kwa ajili ya watu wao. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mtume alikuwa akitumilizwa kwa watu wake maalum na nimetumilizwa kwa watu wote.”
Muusa (´alayhis-Salaam) alitumilizwa kwa wana wa israaiyl pekee na hakutumwa kwa watu wote. Kwa hivyo haitakiwi kusema kwamba Khidhr alitoka katika Shari´ah ya Muusa. Kwa sababu kimsingi ni kwamba hakuwa katika Ummah wa Muusa mpaka isemwe kwamba alitoka.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 179-180
Imechapishwa: 07/03/2019
https://firqatunnajia.com/138-kwa-nini-khidhr-hakumfuata-muusa-alayhis-salaam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)