Swali 137: Baadhi ya wale wenye kutoa pole wanawatoa nje wafiwa wa maiti mbali na makaburi na wanawapanga katika safu ili wawatambue na wawape pole kwa mpangilio na sababu nyingine ni ili makaburi yasitwezwe. Ni ipi hukumu ya hayo[1]?
Jibu: Sitambui ubaya wowote juu ya hayo. Kufanya hivo kunawasahilishia wale wahudhuriaji kuwapa pole.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/373-374).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 99-100
- Imechapishwa: 19/01/2022
Swali 137: Baadhi ya wale wenye kutoa pole wanawatoa nje wafiwa wa maiti mbali na makaburi na wanawapanga katika safu ili wawatambue na wawape pole kwa mpangilio na sababu nyingine ni ili makaburi yasitwezwe. Ni ipi hukumu ya hayo[1]?
Jibu: Sitambui ubaya wowote juu ya hayo. Kufanya hivo kunawasahilishia wale wahudhuriaji kuwapa pole.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/373-374).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 99-100
Imechapishwa: 19/01/2022
https://firqatunnajia.com/137-wafiwa-kupanga-safu-wakati-wa-kuwapa-mkono-wa-pole/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)