Swali 134: Je, inafaa kuhudhuria vikao vya tanzia na kuketi pamoja nao[1]?
Jibu: Muislamu akihudhuria na akawapa pole wafiwa wa maiti ni jambo lililopendekezwa. Kufanya hivo kuna kuwaunga na kuwafariji. Hakuna neno akinywa hapo kwao kikombe cha kahawa au kitu kingine au manukato. Hivo ndivo zilivyo desturi za watu kwa wageni wanaokuja kuwatembelea.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/371).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 97
- Imechapishwa: 18/01/2022
Swali 134: Je, inafaa kuhudhuria vikao vya tanzia na kuketi pamoja nao[1]?
Jibu: Muislamu akihudhuria na akawapa pole wafiwa wa maiti ni jambo lililopendekezwa. Kufanya hivo kuna kuwaunga na kuwafariji. Hakuna neno akinywa hapo kwao kikombe cha kahawa au kitu kingine au manukato. Hivo ndivo zilivyo desturi za watu kwa wageni wanaokuja kuwatembelea.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/371).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 97
Imechapishwa: 18/01/2022
https://firqatunnajia.com/134-ibn-baaz-kuhusu-kuhudhuria-na-kuketi-katika-vikao-vya-tanzania/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)