Swali 131: Je, ahukumiwe kifo ambaye ubongo wake umekufa[1]?
Jibu: Asihukumiwe kufa na wala wasifanye haraka juu yake. Wasubiri mpaka pale atapokufa mauti yasiyokuwa na mashaka yoyote. Haraka hii wanakuwa nayo baadhi ya madaktari ili wapate kuchukua sehemu au viungo kutoka kwake. Wanacheza na kifo. Yote haya hayajuzu.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/366).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 95
- Imechapishwa: 16/01/2022
Swali 131: Je, ahukumiwe kifo ambaye ubongo wake umekufa[1]?
Jibu: Asihukumiwe kufa na wala wasifanye haraka juu yake. Wasubiri mpaka pale atapokufa mauti yasiyokuwa na mashaka yoyote. Haraka hii wanakuwa nayo baadhi ya madaktari ili wapate kuchukua sehemu au viungo kutoka kwake. Wanacheza na kifo. Yote haya hayajuzu.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/366).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 95
Imechapishwa: 16/01/2022
https://firqatunnajia.com/131-je-ahukumiwe-kifo-ambaye-ubongo-wake-umekufa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)