4- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah hatomwangalia mtu mwenye kuburuta mavazi yake kwa kiburi.” Umm Salamah akasema: “Wanawake wafanye nini na viburuta vyao?” Akasema: “Wafanye iwe shibri moja.” Akasema: “Miguu yao itaonekana.” Ndipo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Wafanye iwe dhiraa moja na wasizidishe.”[1]
Hadiyth hii inatolea dalili kuonyesha kuwa ni wajibu kwa mwanamke kufunika miguu yake, jambo ambalo lilikuwa linajulikana kwa wanawake wa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum). Ni jambo lisilokuwa na shaka kuwa miguu ni yenye fitina kidogo kuliko uso na vitanga vya mikono. Uzinduzi juu ya kidogo kwa dhati yake ni uzinduzi juu ya kikubwa. Shari´ah yenye hekima haiwezi kuwajibisha kitu kilicho na fitina kidogo kufunikwa na kuruhusu kilicho na fitina kidogo kuonyeshwa. Ni mgongano usiyowezekana kwa hekima na Shari´ah ya Allaah.
[1] at-Tirmidhiy (1731) na an-Nasaa´iy (5338).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hijaab, uk. 18-19
- Imechapishwa: 26/03/2017
4- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Allaah hatomwangalia mtu mwenye kuburuta mavazi yake kwa kiburi.” Umm Salamah akasema: “Wanawake wafanye nini na viburuta vyao?” Akasema: “Wafanye iwe shibri moja.” Akasema: “Miguu yao itaonekana.” Ndipo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Wafanye iwe dhiraa moja na wasizidishe.”[1]
Hadiyth hii inatolea dalili kuonyesha kuwa ni wajibu kwa mwanamke kufunika miguu yake, jambo ambalo lilikuwa linajulikana kwa wanawake wa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum). Ni jambo lisilokuwa na shaka kuwa miguu ni yenye fitina kidogo kuliko uso na vitanga vya mikono. Uzinduzi juu ya kidogo kwa dhati yake ni uzinduzi juu ya kikubwa. Shari´ah yenye hekima haiwezi kuwajibisha kitu kilicho na fitina kidogo kufunikwa na kuruhusu kilicho na fitina kidogo kuonyeshwa. Ni mgongano usiyowezekana kwa hekima na Shari´ah ya Allaah.
[1] at-Tirmidhiy (1731) na an-Nasaa´iy (5338).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Hijaab, uk. 18-19
Imechapishwa: 26/03/2017
https://firqatunnajia.com/13-ni-wajibu-kwa-mwanamke-kufunika-miguu-yake-anapotoka-nyumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)