58- Itapokuwa siku ya Tarwiyah, nayo ni ile siku ya nane katika Dhul-Hijjah, ndipo atahirimia na atahirimia kwa ajili ya hajj. Atafanya kama yale aliyoyafanya wakati wa kuhirimia ´Umrah kule katika vituo; kuoga, kujitia manukato, kuvaa Izaar na kishale na kuleta Talbiyah. Wala asiikate [hiyo Talbiyah] isipokuwa kabla ya kutupa mawe katika nguzo ya ´Aqabah.
59- Atahirimia mahali ambapo yeye ameshukia. Hata watu wa Makkah watahirimia kutokea Makkah.
60- Kisha atakwenda Minaa na kuswali hapo swalah ya Dhuhr. Vilevile atalala Minaa mpaka aswali swalah zote tano. Swalah hizi zinatakiwa kufupishwa na zisijumuishwe.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Manaasik-ul-Hajj wal-´Umrah, uk. 27-28
- Imechapishwa: 15/07/2018
58- Itapokuwa siku ya Tarwiyah, nayo ni ile siku ya nane katika Dhul-Hijjah, ndipo atahirimia na atahirimia kwa ajili ya hajj. Atafanya kama yale aliyoyafanya wakati wa kuhirimia ´Umrah kule katika vituo; kuoga, kujitia manukato, kuvaa Izaar na kishale na kuleta Talbiyah. Wala asiikate [hiyo Talbiyah] isipokuwa kabla ya kutupa mawe katika nguzo ya ´Aqabah.
59- Atahirimia mahali ambapo yeye ameshukia. Hata watu wa Makkah watahirimia kutokea Makkah.
60- Kisha atakwenda Minaa na kuswali hapo swalah ya Dhuhr. Vilevile atalala Minaa mpaka aswali swalah zote tano. Swalah hizi zinatakiwa kufupishwa na zisijumuishwe.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Manaasik-ul-Hajj wal-´Umrah, uk. 27-28
Imechapishwa: 15/07/2018
https://firqatunnajia.com/13-kuhirimia-kwa-ajili-ya-hajj-siku-ya-tawriyah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)