188 – Tha´labah bin ´Abbaad amesimulia kutoka kwa baba yake (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye amesema:
“Sijui ni mara ngapi nilimsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akinihadithia: “Hakuna mja yeyote ambaye atatawadha ambapo akafanya vizuri wudhuu´ wake ambapo akaosha uso wake mpaka maji yakatiririka chini ya kidevu chake, kisha akaosha mikono yake mpaka maji yakatiririka chini ya visugudi vyake, kisha akaosha miguu yake mpaka maji yakatiririka chini ya vifundo vya miguu halafu akasimama kuswali, isipokuwa atasamehewa madhambi yake yaliyotangulia.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa cheni ya wapokezi laini.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/194)
- Imechapishwa: 14/04/2021
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
188 – Tha´labah bin ´Abbaad amesimulia kutoka kwa baba yake (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye amesema:
“Sijui ni mara ngapi nilimsikia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akinihadithia: “Hakuna mja yeyote ambaye atatawadha ambapo akafanya vizuri wudhuu´ wake ambapo akaosha uso wake mpaka maji yakatiririka chini ya kidevu chake, kisha akaosha mikono yake mpaka maji yakatiririka chini ya visugudi vyake, kisha akaosha miguu yake mpaka maji yakatiririka chini ya vifundo vya miguu halafu akasimama kuswali, isipokuwa atasamehewa madhambi yake yaliyotangulia.”[1]
Ameipokea at-Twabaraaniy katika “al-Mu´jam al-Kabiyr” kwa cheni ya wapokezi laini.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/194)
Imechapishwa: 14/04/2021
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/13-hadiyth-hakuna-mja-yeyote-ambaye-atatawadha-ambapo-akafanya-vizuri-wudhuu-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)