Swali 126: Je, inafaa kuhamisha mifupa ya maiti maeneo mengine ikishaoza[1]?
Jibu: Ni sawa ikihitajika kufanya hivo. Vinginevyo makaburi yanatakiwa kubaki juu ya hali yake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/362).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 92
- Imechapishwa: 15/01/2022