Swali 124: Katika baadhi ya miji baadhi ya watu wanaishi kati ya makaburi. Ni ipi hukumu[1]?
Jibu: Wakatazwe na wakafunzwe. Haya ni maovu na kuyadharau makaburi. Wakiswali kwenye makaburi basi swalah zao ni batili. Kuketi katika makaburi kwa sura iliyotajwa na kuswali karibu nayo ni maovu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msiswali kuyaelekea makaburi na msiketi juu yake.”[2]
Ameipokea Muslim katika “as-Swahiyh” yake.
Vilevile amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Laana ya Allaah iwe juu ya mayahudi na manaswara. Wameyafanya makaburi ya Mitume wao kuwa ni sehemu ya kuswalia.”[3]
Kuna maafikiano juu ya usahihi wake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/356).
[2] Ahmad (16764) na Muslim (972).
[3] Ahmad (1887), al-Bukhaariy (1390) na Muslim (529).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 91
- Imechapishwa: 15/01/2022
Swali 124: Katika baadhi ya miji baadhi ya watu wanaishi kati ya makaburi. Ni ipi hukumu[1]?
Jibu: Wakatazwe na wakafunzwe. Haya ni maovu na kuyadharau makaburi. Wakiswali kwenye makaburi basi swalah zao ni batili. Kuketi katika makaburi kwa sura iliyotajwa na kuswali karibu nayo ni maovu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Msiswali kuyaelekea makaburi na msiketi juu yake.”[2]
Ameipokea Muslim katika “as-Swahiyh” yake.
Vilevile amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Laana ya Allaah iwe juu ya mayahudi na manaswara. Wameyafanya makaburi ya Mitume wao kuwa ni sehemu ya kuswalia.”[3]
Kuna maafikiano juu ya usahihi wake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/356).
[2] Ahmad (16764) na Muslim (972).
[3] Ahmad (1887), al-Bukhaariy (1390) na Muslim (529).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 91
Imechapishwa: 15/01/2022
https://firqatunnajia.com/124-kueshi-kati-ya-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)