3- Fungu la tatu: Ni yule mwenye kuwasaidia washirikina dhidi ya waislamu, ilihali si mwenye kutenzwa nguvu, kafanya hivyo kwa kutaka kwake mwenyewe pamoja na kuchukia dini ya makafiri na kutoridhika nayo, huyu bila ya shaka ni mtenda dhambi kubwa katika madhambi makubwa na kunakhofiwa juu yake kufuru.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 160
- Imechapishwa: 19/02/2019
3- Fungu la tatu: Ni yule mwenye kuwasaidia washirikina dhidi ya waislamu, ilihali si mwenye kutenzwa nguvu, kafanya hivyo kwa kutaka kwake mwenyewe pamoja na kuchukia dini ya makafiri na kutoridhika nayo, huyu bila ya shaka ni mtenda dhambi kubwa katika madhambi makubwa na kunakhofiwa juu yake kufuru.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 160
Imechapishwa: 19/02/2019
https://firqatunnajia.com/123-aina-ya-tatu-ya-waislamu-kuwafanya-makafiri-marafiki-na-vipenzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)