Swali 122: Je, kukatazwe kulielekea kaburi wakati wa kumwombea du´aa maiti[1]?
Jibu: Kusikatazwe. Bali maiti aombewe du´aa. Ni mamoja mtu ameelekea Qiblah au amelielekea kaburi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisimama karibi na kaburi baada kuzika na akasema:
“Mwombeeni msamaha ndugu yenu na mtakieni uimara; kwani hakika hivi sasa anahojiwa.”[2]
Hakusema watu waelekee Qiblah. Kwa hiyo yote yanafaa. Ni mamoja mtu ataelekea Qiblah au Ka´bah. Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walimwombea du´aa maiti ilihali wamekusanyika pambizoni na kaburi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/338).
[2] Abu Daawuud (3221).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 88-89
- Imechapishwa: 15/01/2022
Swali 122: Je, kukatazwe kulielekea kaburi wakati wa kumwombea du´aa maiti[1]?
Jibu: Kusikatazwe. Bali maiti aombewe du´aa. Ni mamoja mtu ameelekea Qiblah au amelielekea kaburi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisimama karibi na kaburi baada kuzika na akasema:
“Mwombeeni msamaha ndugu yenu na mtakieni uimara; kwani hakika hivi sasa anahojiwa.”[2]
Hakusema watu waelekee Qiblah. Kwa hiyo yote yanafaa. Ni mamoja mtu ataelekea Qiblah au Ka´bah. Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walimwombea du´aa maiti ilihali wamekusanyika pambizoni na kaburi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/338).
[2] Abu Daawuud (3221).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 88-89
Imechapishwa: 15/01/2022
https://firqatunnajia.com/122-wapi-anapoelekea-mtu-anapomwombea-duaa-maiti-makaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)