Swali 121: Je, du´aa inayoombwa karibu na kaburi inakuwa kwa kunyanyua mikono[1]?
Jibu: Hapana vibaya endapo atanyanyua mikono. Imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Hadiyth ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ya kwamba:
“Aliyatembelea makaburi ambapo akanyanyua mikono na akawaombea du´aa watu wake.”[2]
Ameipokea Muslim.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/337).
[2] Muslim (974).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 88
- Imechapishwa: 15/01/2022
Swali 121: Je, du´aa inayoombwa karibu na kaburi inakuwa kwa kunyanyua mikono[1]?
Jibu: Hapana vibaya endapo atanyanyua mikono. Imethibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) katika Hadiyth ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) ya kwamba:
“Aliyatembelea makaburi ambapo akanyanyua mikono na akawaombea du´aa watu wake.”[2]
Ameipokea Muslim.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/337).
[2] Muslim (974).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 88
Imechapishwa: 15/01/2022
https://firqatunnajia.com/121-kunyanyua-mikono-wakati-wa-kumwombea-duaa-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)