1 – Miaka michache ambayo mwanamke hupata hedhi mara nyingi huwa ni tisa mpaka miaka khamsini. Amesema (Ta´ala):
وَاللَّائِي يَئِسْنَ مِنَ الْمَحِيضِ مِن نِّسَائِكُمْ إِنِ ارْتَبْتُمْ فَعِدَّتُهُنَّ ثَلَاثَةُ أَشْهُرٍ وَاللَّائِي لَمْ يَحِضْنَ
“Wale wanawake wanaokoma hedhi miongoni mwa wanawake wenu, mkiwa mna shaka, basi eda yao ni miezi mitatu, pamoja na wale wanawake wasiopata hedhi.”[1]
Wale waliokata tamaa ni wale waliofikisha miaka khamsini na wale ambao hawajapata hedhi ni wale wadogo walio chini ya miaka tisa.
[1] 65:04
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 27
- Imechapishwa: 24/10/2019
1 – Miaka michache ambayo mwanamke hupata hedhi mara nyingi huwa ni tisa mpaka miaka khamsini. Amesema (Ta´ala):
وَاللَّائِي يَئِسْنَ مِنَ الْمَحِيضِ مِن نِّسَائِكُمْ إِنِ ارْتَبْتُمْ فَعِدَّتُهُنَّ ثَلَاثَةُ أَشْهُرٍ وَاللَّائِي لَمْ يَحِضْنَ
“Wale wanawake wanaokoma hedhi miongoni mwa wanawake wenu, mkiwa mna shaka, basi eda yao ni miezi mitatu, pamoja na wale wanawake wasiopata hedhi.”[1]
Wale waliokata tamaa ni wale waliofikisha miaka khamsini na wale ambao hawajapata hedhi ni wale wadogo walio chini ya miaka tisa.
[1] 65:04
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tanbiyhaat, uk. 27
Imechapishwa: 24/10/2019
https://firqatunnajia.com/12-miaka-ambayo-mwanamke-hupata-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)