Miongoni mwa haki za wanandoa wakati wa kufunga ndoa ni mwanaume ampe mwanamke mahari yake yote kikamilifu. Yasipunguzwe. Yatolewe kama jinsi wanandoa walivyokubaliana. Allaah (Ta´ala) Amesema:
وَآتُوا النِّسَاءَ صَدُقَاتِهِنَّ نِحْلَةً
“Na wapeni wanawake mahari zao kwa maridhawa.”[1]
Amesema (Ta´ala) vilevile:
وَإِنْ أَرَدتُّمُ اسْتِبْدَالَ زَوْجٍ مَّكَانَ زَوْجٍ وَآتَيْتُمْ إِحْدَاهُنَّ قِنطَارًا فَلَا تَأْخُذُوا مِنْهُ شَيْئًا
“Na mkitaka kubadlisha mke mahali pa mke, na mmempa mmoja wao [zawadi ya] mirundi ya mali, basi msichukue humo chochote.”[2]
[2] 04:20
[2] 04:04
- Mhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliym ar-Ruhayliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqq-uz-Zawjayn, uk. 19
- Imechapishwa: 24/03/2017
Miongoni mwa haki za wanandoa wakati wa kufunga ndoa ni mwanaume ampe mwanamke mahari yake yote kikamilifu. Yasipunguzwe. Yatolewe kama jinsi wanandoa walivyokubaliana. Allaah (Ta´ala) Amesema:
وَآتُوا النِّسَاءَ صَدُقَاتِهِنَّ نِحْلَةً
“Na wapeni wanawake mahari zao kwa maridhawa.”[1]
Amesema (Ta´ala) vilevile:
وَإِنْ أَرَدتُّمُ اسْتِبْدَالَ زَوْجٍ مَّكَانَ زَوْجٍ وَآتَيْتُمْ إِحْدَاهُنَّ قِنطَارًا فَلَا تَأْخُذُوا مِنْهُ شَيْئًا
“Na mkitaka kubadlisha mke mahali pa mke, na mmempa mmoja wao [zawadi ya] mirundi ya mali, basi msichukue humo chochote.”[2]
[2] 04:20
[2] 04:04
Mhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliym ar-Ruhayliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haqq-uz-Zawjayn, uk. 19
Imechapishwa: 24/03/2017
https://firqatunnajia.com/12-mahari-yanatakiwa-kutolewa-yote-kikamilifu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)