Swali 118: Je, kufanya maalum siku ya ´iyd mbili kuyatembelea makaburi ni jambo lina msingi[1]?
Jibu: Sijui msingi wowote juu ya hilo. Sunnah ni kuyatembelea makaburi pale ambapo mtu atakuwa na wepesi wa kufanya hivo.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/337).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 88
- Imechapishwa: 13/01/2022
Swali 118: Je, kufanya maalum siku ya ´iyd mbili kuyatembelea makaburi ni jambo lina msingi[1]?
Jibu: Sijui msingi wowote juu ya hilo. Sunnah ni kuyatembelea makaburi pale ambapo mtu atakuwa na wepesi wa kufanya hivo.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/337).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 88
Imechapishwa: 13/01/2022
https://firqatunnajia.com/118-kuyatembelea-makaburi-siku-ya-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)