Swali 117: Ni ipi hukumu ya kuyatembelea makaburi kufanya maalum siku ya ijumaa?
Jibu: Ni jambo lisilokuwa na msingi. Lililowekwa katika Shari´ah ni yule mwenye kuyatembelea makaburi ayatembelee wakati wowote itapokuwa sahali. Ni mamoja ikawa usiku au mchana. Kuhusu kuyatembelea siku maalum au usiku maalum ni Bid´ah isiyokuwa na msingi wowote. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yeyote atakayezua katika amri yetu hii yale yasiyokuwemo basi atarudishiwa mwenyewe.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
“Yeyote atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu basi atarudishiwa mwenyewe.”[2]
Ameipokea Muslim katika “as-Swahiyh” yake kutoka kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa).
[1] al-Bukhaariy (2697) na Muslim (1718).
[2] Muslim (1718).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 87
- Imechapishwa: 13/01/2022
Swali 117: Ni ipi hukumu ya kuyatembelea makaburi kufanya maalum siku ya ijumaa?
Jibu: Ni jambo lisilokuwa na msingi. Lililowekwa katika Shari´ah ni yule mwenye kuyatembelea makaburi ayatembelee wakati wowote itapokuwa sahali. Ni mamoja ikawa usiku au mchana. Kuhusu kuyatembelea siku maalum au usiku maalum ni Bid´ah isiyokuwa na msingi wowote. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Yeyote atakayezua katika amri yetu hii yale yasiyokuwemo basi atarudishiwa mwenyewe.”[1]
Ameipokea al-Bukhaariy na Muslim.
“Yeyote atakayefanya kitendo kisichoafikiana na amri yetu basi atarudishiwa mwenyewe.”[2]
Ameipokea Muslim katika “as-Swahiyh” yake kutoka kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa).
[1] al-Bukhaariy (2697) na Muslim (1718).
[2] Muslim (1718).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 87
Imechapishwa: 13/01/2022
https://firqatunnajia.com/117-kila-ijumaa-kuyatembelea-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)