116. Takbiyr wakati wa kufika kiguzo jeusi

  Download

234-

Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alitufu Ka´bah juu ya ngamia. Kila alipokuwa anakifikia kiguzo basi anaashiria kwa kitu alichonacho na akisema:

اللهُ أكْبَر

“Allaah ni mkubwa.”[1]

[1] al-Bukhaariy pamoja na al-Fath (03/476). Makusudio ya kitu ni “bakora”. Tazama ”al-Bukhaariy pamoja na al-Fath” (03/472).

  • Mhusika: Shaykh Sa´iyd bin ´Aliy bin Wahf al-Qahtwaaniy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Huswn-ul-Muslim
  • Imechapishwa: 08/05/2020