116. Maiti hawajui matendo ya jamaa zao waliohai

Swali 116: Je, wafu wanayajua matendo ya jamaa zao waliohai[1]?

Jibu: Sijui chochote katika Shari´ah kinachojulisha juu ya hayo.

[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/336).

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 86
  • Imechapishwa: 13/01/2022