Swali 115: Je, maiti anamjua anayemtembelea[1]?
Jibu: Imepokelewa katika baadhi ya Hadiyth:
“Ikiwa alikuwa anamjua duniani basi Allaah humrudishia roho yake ili amwitikie salamu.”
Lakini cheni ya wapokezi wake ni yenye walakini. Lakini ameisahihisha Ibn ´Abdil-Barr (Rahimahu Allaah).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/335-336).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 86
- Imechapishwa: 12/01/2022
Swali 115: Je, maiti anamjua anayemtembelea[1]?
Jibu: Imepokelewa katika baadhi ya Hadiyth:
“Ikiwa alikuwa anamjua duniani basi Allaah humrudishia roho yake ili amwitikie salamu.”
Lakini cheni ya wapokezi wake ni yenye walakini. Lakini ameisahihisha Ibn ´Abdil-Barr (Rahimahu Allaah).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/335-336).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 86
Imechapishwa: 12/01/2022
https://firqatunnajia.com/115-je-maiti-anamjua-anayemtembelea/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)