Swali 114: Je, inatosha kuwatolea salamu wafu mara moja pale mwanzoni mwa makaburi[1]?
Jibu: Inatosha kufanya hivo na kunapatikana kitendo cha kuwatembelea. Maeneo ya makaburi yakiwa makubwa na akayatembelea pande zake zote ni sawa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/335).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 85
- Imechapishwa: 12/01/2022
Swali 114: Je, inatosha kuwatolea salamu wafu mara moja pale mwanzoni mwa makaburi[1]?
Jibu: Inatosha kufanya hivo na kunapatikana kitendo cha kuwatembelea. Maeneo ya makaburi yakiwa makubwa na akayatembelea pande zake zote ni sawa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/335).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 85
Imechapishwa: 12/01/2022
https://firqatunnajia.com/114-je-inatosha-kuwatolea-salamu-wafu-mara-moja-pale-mwanzoni-mwa-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)