114. Je, inatosha kuwatolea salamu wafu mara moja pale mwanzoni mwa makaburi

Swali 114: Je, inatosha kuwatolea salamu wafu mara moja pale mwanzoni mwa makaburi[1]?

Jibu: Inatosha kufanya hivo na kunapatikana kitendo cha kuwatembelea. Maeneo ya makaburi yakiwa makubwa na akayatembelea pande zake zote ni sawa.

[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/335).

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 85
  • Imechapishwa: 12/01/2022