Swali 113: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
“Mche Allaah na subiri.”[1]
kumwambia mwanamke ambaye alimwona analia karibu na kaburi kuna dalili inayoonyesha kuwa inafaa kwa mwanamke kuyatembelea makaburi[2]?
Jibu: Pengine haya yalitokea kipindi ambapo yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa amewapa idhini wote wanamme na wanawake kuyatembelea. Kwa sababu Hadiyth zinazowakataza wanawake kuyatemebela makaburi ni zenye kuhukumu na zinafuta zote zilizoko kabla yake.
[1] Ahmad (12049), al-Bukhaariy (1252) na Muslim (926).
[2] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/331-332).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 85
- Imechapishwa: 09/01/2022
Swali 113: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
“Mche Allaah na subiri.”[1]
kumwambia mwanamke ambaye alimwona analia karibu na kaburi kuna dalili inayoonyesha kuwa inafaa kwa mwanamke kuyatembelea makaburi[2]?
Jibu: Pengine haya yalitokea kipindi ambapo yeye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa amewapa idhini wote wanamme na wanawake kuyatembelea. Kwa sababu Hadiyth zinazowakataza wanawake kuyatemebela makaburi ni zenye kuhukumu na zinafuta zote zilizoko kabla yake.
[1] Ahmad (12049), al-Bukhaariy (1252) na Muslim (926).
[2] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/331-332).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 85
Imechapishwa: 09/01/2022
https://firqatunnajia.com/113-jawabu-juu-ya-hadiyth-mche-allaah-na-subiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)