Swali 11: Inafaa kwa mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kula na kunywa mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Ndio, inafaa kwao kula na kunywa mchana wa Ramadhaan. Lakini bora afanye hivo kwa kujificha ikiwa nyumbani kuna mtoto. Kwa sababu kitendo hicho kitawachanganya.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 13
- Imechapishwa: 20/06/2021
Swali 11: Inafaa kwa mwenye hedhi na mwenye damu ya uzazi kula na kunywa mchana wa Ramadhaan?
Jibu: Ndio, inafaa kwao kula na kunywa mchana wa Ramadhaan. Lakini bora afanye hivo kwa kujificha ikiwa nyumbani kuna mtoto. Kwa sababu kitendo hicho kitawachanganya.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 13
Imechapishwa: 20/06/2021
https://firqatunnajia.com/11-wale-mchana-lakini-kwa-kujificha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)