1002- Imepokelewa kutoka kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Katika kila mchana na usiku (katika Ramadhaan) kuna ambao Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) huwaacha huru. Hakika kila muislamu katika kila mchana na usiku huomba du´aa yenye kupokelewa.”[1]
Ameipokea al-Bazzaar.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/586)
- Imechapishwa: 26/05/2018
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1002- Imepokelewa kutoka kwa Abu Sa´iyd al-Khudriy (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye ameeleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Katika kila mchana na usiku (katika Ramadhaan) kuna ambao Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) huwaacha huru. Hakika kila muislamu katika kila mchana na usiku huomba du´aa yenye kupokelewa.”[1]
Ameipokea al-Bazzaar.
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/586)
Imechapishwa: 26/05/2018
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/11-hadiyth-katika-kila-mchana-na-usiku-katika-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)