693- ´Abdullaah bin ´Amr bin al-´Aasw (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayejitwaharisha na kuoga, akawa karibu na mapema, akakaribia na kusikiliza, basi hulipwa kwa kila hatua moja anayopiga ujira wa swawm ya mwaka mzima na kisimamo chake cha usiku.”[1]
Ameipokea Ahmad na wanaume wake ni Swahiyh[2].
[1] Swahiyh.
[2] Katika mlolongo wa wapokezi amekuja ´Uthmaan ash-Shaamiy ambaye anaitwa ´Uthmaan bin Abiy Sawdah al-Maqdisiy. Hakupokea katika ”as-Swahiyh”. al-Bukhaariy amepokea kwake katika ”al-Adab al-Mufrad” na sio katika ”as-Swahiyh”. Hata hivyo alikuwa ni mwaminifu.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/435)
- Imechapishwa: 31/03/2017
693- ´Abdullaah bin ´Amr bin al-´Aasw (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayejitwaharisha na kuoga, akawa karibu na mapema, akakaribia na kusikiliza, basi hulipwa kwa kila hatua moja anayopiga ujira wa swawm ya mwaka mzima na kisimamo chake cha usiku.”[1]
Ameipokea Ahmad na wanaume wake ni Swahiyh[2].
[1] Swahiyh.
[2] Katika mlolongo wa wapokezi amekuja ´Uthmaan ash-Shaamiy ambaye anaitwa ´Uthmaan bin Abiy Sawdah al-Maqdisiy. Hakupokea katika ”as-Swahiyh”. al-Bukhaariy amepokea kwake katika ”al-Adab al-Mufrad” na sio katika ”as-Swahiyh”. Hata hivyo alikuwa ni mwaminifu.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/435)
Imechapishwa: 31/03/2017
https://firqatunnajia.com/11-hadiyth-atakayejitwaharisha-na-kuoga-akawa-karibu-na-mapema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)