Iwapo mtu au kipenzi na mtu wake wa karibu atapofikwa na kitu katika yale Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyozingatia kuwa ni kufa shahidi basi ni shahidi. Kuna sampuli tatu za kuwa shahidi:
1- Kufa shahidi duniani na Aakhirah. Ni yule mwenye kuuawa katika uwanja wa vita hali ya kumtakasia nia Allaah.
2- Kuwa shahidi katika dunia hii. Ni yule mwenye kuuawa katika uwanja wa vita kwa kujionyesha.
3- Kufa shahidi Aakhirah. Ni yule ambaye Shari´ah imethibitisha kuwa ni shahidi bila ya kufanyiwa hukumu za shahidi hapa duniani. Kwa mfano wa mwenye kuzama, mwenye kuungua mpaka akafa, mwenye kufa kwa maradhi ya pafu na wengineo[1].
[1] Tazama mlango wa 106.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Muhammad al-Hanbaliy al-Manbajiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 229
- Imechapishwa: 20/12/2016
Iwapo mtu au kipenzi na mtu wake wa karibu atapofikwa na kitu katika yale Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyozingatia kuwa ni kufa shahidi basi ni shahidi. Kuna sampuli tatu za kuwa shahidi:
1- Kufa shahidi duniani na Aakhirah. Ni yule mwenye kuuawa katika uwanja wa vita hali ya kumtakasia nia Allaah.
2- Kuwa shahidi katika dunia hii. Ni yule mwenye kuuawa katika uwanja wa vita kwa kujionyesha.
3- Kufa shahidi Aakhirah. Ni yule ambaye Shari´ah imethibitisha kuwa ni shahidi bila ya kufanyiwa hukumu za shahidi hapa duniani. Kwa mfano wa mwenye kuzama, mwenye kuungua mpaka akafa, mwenye kufa kwa maradhi ya pafu na wengineo[1].
[1] Tazama mlango wa 106.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Muhammad al-Hanbaliy al-Manbajiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasliyatu Ahl-il-Maswaa-ib, uk. 229
Imechapishwa: 20/12/2016
https://firqatunnajia.com/109-aina-tatu-za-kufa-shahidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)