Swali 108: Je, inafaa kumswalia maiti zile faradhi ambazo hakuziswali[1]?
Jibu: Haijuzu kumswalia maiti. Isitoshe halina msingi. Hayo yamepokelewa kuhusu funga, hajj, kulipa deni, kumtolea swadaqah na kumwombea du´aa. Kuhusu kumswalia ni jambo halina msingi wowote.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/280-281).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 78
- Imechapishwa: 09/01/2022
Swali 108: Je, inafaa kumswalia maiti zile faradhi ambazo hakuziswali[1]?
Jibu: Haijuzu kumswalia maiti. Isitoshe halina msingi. Hayo yamepokelewa kuhusu funga, hajj, kulipa deni, kumtolea swadaqah na kumwombea du´aa. Kuhusu kumswalia ni jambo halina msingi wowote.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/280-281).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 78
Imechapishwa: 09/01/2022
https://firqatunnajia.com/108-kumlipia-maiti-swalah-zilizompita/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)