Swali 103: Je, inafaa kuyaangaza makaburi na barabara zilizoko kati ya makaburi[1]?
Jibu: Ikiwa ni kwa manufaa ya watu wakati wa kuzika au yakawa katika ukuta ni sawa. Ama kuweka mataa juu ya makaburi haijuzu. Kwa sababu Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi na wale wenye kuyafanya ni mahali pa kuswalia na kuyaweka mataa.”
Ni sawa pia ikiwa mataa yamewekwa katika barabara ambayo watu wanapita karibu nayo. Ni sawa pia ikiwa kutawekwa mataa wakati inahitajika kuwaangazia wakati wanazika au wakaleta maa kwa ajili ya lengo hili.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/244-145).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 72
- Imechapishwa: 08/01/2022
Swali 103: Je, inafaa kuyaangaza makaburi na barabara zilizoko kati ya makaburi[1]?
Jibu: Ikiwa ni kwa manufaa ya watu wakati wa kuzika au yakawa katika ukuta ni sawa. Ama kuweka mataa juu ya makaburi haijuzu. Kwa sababu Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi na wale wenye kuyafanya ni mahali pa kuswalia na kuyaweka mataa.”
Ni sawa pia ikiwa mataa yamewekwa katika barabara ambayo watu wanapita karibu nayo. Ni sawa pia ikiwa kutawekwa mataa wakati inahitajika kuwaangazia wakati wanazika au wakaleta maa kwa ajili ya lengo hili.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/244-145).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 72
Imechapishwa: 08/01/2022
https://firqatunnajia.com/103-je-inafaa-kuyaangaza-makaburi-na-barabara-zilizoko-kati-ya-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)