Swali 102: Ni ipi hukumu ya kuandika du´aa ya kuingia makaburini kwenye mlango wa makaburi[1]?
Jibu: Sitambui msingi juu ya hilo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuandika juu ya kaburi. Kuna khatari kuandika juu ya ukuta wa makaburi ikawa ni njia inayopelekea kuandika juu ya makaburi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/244).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 71¬-72
- Imechapishwa: 08/01/2022
Swali 102: Ni ipi hukumu ya kuandika du´aa ya kuingia makaburini kwenye mlango wa makaburi[1]?
Jibu: Sitambui msingi juu ya hilo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuandika juu ya kaburi. Kuna khatari kuandika juu ya ukuta wa makaburi ikawa ni njia inayopelekea kuandika juu ya makaburi.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/244).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 71¬-72
Imechapishwa: 08/01/2022
https://firqatunnajia.com/102-duaa-ya-kuingia-makaburi-kwenye-mlango-wa-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)