Swali 101: Ni yepi maoni yako juu ya wenye kujuzisha kuswali ndani ya msikiti wenye makaburi na wakajengea hoja ya kwamba msikiti wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndani yake lipo kaburi lake mteule (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)[1]?
Jibu: Abainishiwe kwamba kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) liko katika nyumba yake na si msikitini. Aliyekosea ni yule ambaye aliliingiza kaburi ndani ya msikiti.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/242).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 71
- Imechapishwa: 08/01/2022
Swali 101: Ni yepi maoni yako juu ya wenye kujuzisha kuswali ndani ya msikiti wenye makaburi na wakajengea hoja ya kwamba msikiti wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndani yake lipo kaburi lake mteule (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)[1]?
Jibu: Abainishiwe kwamba kaburi la Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) liko katika nyumba yake na si msikitini. Aliyekosea ni yule ambaye aliliingiza kaburi ndani ya msikiti.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/242).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 71
Imechapishwa: 08/01/2022
https://firqatunnajia.com/101-mtume-alizikwa-nyumbani-kwake-na-si-msikitini-kwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)