Hii ndio misingi ya kuritadi:
1- Neno la kufuru na shirki pasi na kulazimishwa.
2- Kuitakidi kufuru na shirki.
3- Kitendo cha kufuru au shirki.
4- Kuwa na mashaka juu ya dini na yale aliyokuja nayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mambo haya ni lazima kwa waislamu wote na khaswa wanafunzi wayatilie umuhimu kutokana na wingi wa fitina, maovu, shubuha, siku hizi. Vilevile walinganizi waovu na upotevu wamekuw wengi hii leo. Kwa hivyo ni lazima kwa muislamu aliwekee umuhimu jambo hili ili asitoke katika dini yake kwa kufanya kitu katika hayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 24
- Imechapishwa: 06/05/2018
Hii ndio misingi ya kuritadi:
1- Neno la kufuru na shirki pasi na kulazimishwa.
2- Kuitakidi kufuru na shirki.
3- Kitendo cha kufuru au shirki.
4- Kuwa na mashaka juu ya dini na yale aliyokuja nayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mambo haya ni lazima kwa waislamu wote na khaswa wanafunzi wayatilie umuhimu kutokana na wingi wa fitina, maovu, shubuha, siku hizi. Vilevile walinganizi waovu na upotevu wamekuw wengi hii leo. Kwa hivyo ni lazima kwa muislamu aliwekee umuhimu jambo hili ili asitoke katika dini yake kwa kufanya kitu katika hayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 24
Imechapishwa: 06/05/2018
https://firqatunnajia.com/10-waislamu-kuchunga-wasije-kutumbukia-katika-moja-ya-misingi-hii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)