Miongoni mwa haki za wanandoa wakati wa uchumba ni ukweli na waelezane juu ya sifa zao ambazo ni muhimu katika ndoa. Mtume wetu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Muuzaji na mnunuwaji wana uwezo wa kubadili maadamu hawajatengana. Ikiwa ni wakweli na wacha-Mungu basi watabarikiwa katika biashara yao. Na lau watadanganya na kuficha baraka itaondoshwa kwenye biashara yao.”[1]
Ikiwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema hivi juu ya mabadilisho ya biashara, unafikiriaje inapohusiana na ndoa ambayo ina mu´amala wenye kudumu? Ni jambo lisokuwa na shaka ya kwamba mtu anapaswa awe mkweli na mcha-Mungu. Sawa ikiwa ni mwanamke au mwanaume anaficha kitu muhimu ni usaliti kwa yule mwingine. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kutufanyia ghushi sio katika sisi.”[2]
[1] al-Bukhaariy (2079) na Muslim (1532
[2] at-Tirmidhiy (1315) na Muslim (102) kwa muundo: “Mwenye kufanya ghushi sio katika sisi.”
- Mhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliym ar-Ruhayliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqq-uz-Zawjayn, uk. 17-18
- Imechapishwa: 24/03/2017
Miongoni mwa haki za wanandoa wakati wa uchumba ni ukweli na waelezane juu ya sifa zao ambazo ni muhimu katika ndoa. Mtume wetu (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Muuzaji na mnunuwaji wana uwezo wa kubadili maadamu hawajatengana. Ikiwa ni wakweli na wacha-Mungu basi watabarikiwa katika biashara yao. Na lau watadanganya na kuficha baraka itaondoshwa kwenye biashara yao.”[1]
Ikiwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema hivi juu ya mabadilisho ya biashara, unafikiriaje inapohusiana na ndoa ambayo ina mu´amala wenye kudumu? Ni jambo lisokuwa na shaka ya kwamba mtu anapaswa awe mkweli na mcha-Mungu. Sawa ikiwa ni mwanamke au mwanaume anaficha kitu muhimu ni usaliti kwa yule mwingine. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwenye kutufanyia ghushi sio katika sisi.”[2]
[1] al-Bukhaariy (2079) na Muslim (1532
[2] at-Tirmidhiy (1315) na Muslim (102) kwa muundo: “Mwenye kufanya ghushi sio katika sisi.”
Mhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliym ar-Ruhayliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haqq-uz-Zawjayn, uk. 17-18
Imechapishwa: 24/03/2017
https://firqatunnajia.com/10-ukweli-wakati-wa-posa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)