5- Ni haramu kwa mwanamke mwenye hedhi kubaki msikitini. Bali ni haramu kwake kubaki hata mahali pa kuswalia ´Iyd. Umm ´Atwiyyah amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alituamrisha katika ´Iyd mbili kuwatoa wanawake chipukizi ambao ndio wametoka katika kukomaa, wanawake wenye hedhi na ambao hawajaolewa. Kuhusiana na wanawake wenye hedhi, waepuke sehemu za kuswalia.”[1]
[1] al-Bukhaariy (324) na Muslim (890).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ad-Dimaa’ at-Twabiy´iyyah lin-Nisaa’ http://www.ibnothaimeen.com/all/books/article
- Imechapishwa: 30/10/2016
5- Ni haramu kwa mwanamke mwenye hedhi kubaki msikitini. Bali ni haramu kwake kubaki hata mahali pa kuswalia ´Iyd. Umm ´Atwiyyah amesema:
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alituamrisha katika ´Iyd mbili kuwatoa wanawake chipukizi ambao ndio wametoka katika kukomaa, wanawake wenye hedhi na ambao hawajaolewa. Kuhusiana na wanawake wenye hedhi, waepuke sehemu za kuswalia.”[1]
[1] al-Bukhaariy (324) na Muslim (890).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ad-Dimaa’ at-Twabiy´iyyah lin-Nisaa’ http://www.ibnothaimeen.com/all/books/article
Imechapishwa: 30/10/2016
https://firqatunnajia.com/10-hukumu-ya-tano-mafungamano-ya-hedhi-na-kubaki-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)