1001- Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kuna ambao Allaah huwaacha huru kila kunapofunguliwa swawm.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa mlolongo wa wapokezi usiokuwa na neno, at-Twabaraaniy na al-Bayhaqiy ambaye amesema:
“Hadiyth hii ni geni kwa vile mkubwa amesimulia kutoka kwa mdogo. Naye si mwengine ni al-A´mash ambaye amesimulia kutoka kwa al-Husayn bin Waaqid.”
[1] Nzuri na Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/586)
- Imechapishwa: 26/05/2018
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
1001- Abu Umaamah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kuna ambao Allaah huwaacha huru kila kunapofunguliwa swawm.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa mlolongo wa wapokezi usiokuwa na neno, at-Twabaraaniy na al-Bayhaqiy ambaye amesema:
“Hadiyth hii ni geni kwa vile mkubwa amesimulia kutoka kwa mdogo. Naye si mwengine ni al-A´mash ambaye amesimulia kutoka kwa al-Husayn bin Waaqid.”
[1] Nzuri na Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/586)
Imechapishwa: 26/05/2018
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/10-hadiyth-kuna-ambao-allaah-huwaacha-huru-kila-kunapofunguliwa-swawm/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)