47- Imepokelewa kwamba:
“Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) alikuwa anauendea mti kati ya Makkah na Madiynah ambapo analala chini yake usingizi wa mchana, na akieleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anafanya hivo.”[1]
Ameipokea al-Bazzaar kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na neno.
[1] Nzuri.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/127)
- Imechapishwa: 26/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
47- Imepokelewa kwamba:
“Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anh) alikuwa anauendea mti kati ya Makkah na Madiynah ambapo analala chini yake usingizi wa mchana, na akieleza kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anafanya hivo.”[1]
Ameipokea al-Bazzaar kwa cheni ya wapokezi isiyokuwa na neno.
[1] Nzuri.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/127)
Imechapishwa: 26/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/10-hadiyth-ibn-umar-alikuwa-anauendea-mti-kati-ya-makkah-na-madiynah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)