185 – ´Abdullaah bin as-Sunaabihiy (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Akitawadha mja ambapo akasukutua kinywa, basi yanaondoka makosa yake kinywani mwake. Akipenga, basi yanaondoka makosa puani mwake. Akiosha uso wake, basi yanaondoka makosa usoni mwake mpaka yanatoka chini ya kope zake. Akiosha mikono yake, basi yanaondoka makosa yake mikononi mwake mpaka yanatoka chini ya kucha za mikono yake. Akifuta kichwa chake kwa mikono yake, basi yanaondoka makosa yake kichwa mwake mpaka yanatoka masikioni mwake. Akiosha miguu yake, basi yanaondoka makosa miguuni mwake mpaka yanatoka chini ya kucha za miguu yake. Kisha kule kutembea kwake kwenda msikitini na swalah yake inakuwa ni ziada ya thawabu.”[1]
Ameipokea Maalik, an-Nasaa’iy, Ibn Maajah na al-Haakim ambaye amesema:
“Swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy na Muslim. Haina kasoro. as-Sunaabihiy alikuwa ni Swahabah anayetambulika.”
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/191)
- Imechapishwa: 14/04/2021
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
185 – ´Abdullaah bin as-Sunaabihiy (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Akitawadha mja ambapo akasukutua kinywa, basi yanaondoka makosa yake kinywani mwake. Akipenga, basi yanaondoka makosa puani mwake. Akiosha uso wake, basi yanaondoka makosa usoni mwake mpaka yanatoka chini ya kope zake. Akiosha mikono yake, basi yanaondoka makosa yake mikononi mwake mpaka yanatoka chini ya kucha za mikono yake. Akifuta kichwa chake kwa mikono yake, basi yanaondoka makosa yake kichwa mwake mpaka yanatoka masikioni mwake. Akiosha miguu yake, basi yanaondoka makosa miguuni mwake mpaka yanatoka chini ya kucha za miguu yake. Kisha kule kutembea kwake kwenda msikitini na swalah yake inakuwa ni ziada ya thawabu.”[1]
Ameipokea Maalik, an-Nasaa’iy, Ibn Maajah na al-Haakim ambaye amesema:
“Swahiyh juu ya sharti za al-Bukhaariy na Muslim. Haina kasoro. as-Sunaabihiy alikuwa ni Swahabah anayetambulika.”
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/191)
Imechapishwa: 14/04/2021
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/10-hadiyth-akitawadha-mja-ambapo-akasukutua-kinywa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)