9- Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Nilimwona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema juu ya mimbari: “Itapokuwa siku ya Qiyaamah basi Allaah (´Azza wa Jall) atazikamata mbingu na ardhi zote kwenye mkamato Wake kisha aseme: “Mimi ni Allaah!”[1]
[1] Muslim (2149) na Ibn ´Arafah katika ”al-Juz’” (9).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
- Imechapishwa: 18/06/2019
9- Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
“Nilimwona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akisema juu ya mimbari: “Itapokuwa siku ya Qiyaamah basi Allaah (´Azza wa Jall) atazikamata mbingu na ardhi zote kwenye mkamato Wake kisha aseme: “Mimi ni Allaah!”[1]
[1] Muslim (2149) na Ibn ´Arafah katika ”al-Juz’” (9).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 19
Imechapishwa: 18/06/2019
https://firqatunnajia.com/10-dalili-ya-tisa-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)