Swali: Wanachuoni (Rahimahumu Allaah) wamesema kuwa imesuniwa kumkumbusha mgonjwa kufanya tawbah na kuusia na kuna wanaosema kuwa hili linahusiana na yale maradhi ya khatari na si yale maradhi mepesi. Ni yapi maoni yako?
Jibu: Naonelea kuwa inatakiwa kumkumbusha mgonjwa kufanya tawbah na kuusia. Tawbah na kuusia ni mambo yamewekwa katika Shari´ah wakati wowote ule. Lakini mtu afanye hivo kwa njia isiyomshtua mgonjwa1.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/71)
- Imechapishwa: 17/06/2017
Swali: Wanachuoni (Rahimahumu Allaah) wamesema kuwa imesuniwa kumkumbusha mgonjwa kufanya tawbah na kuusia na kuna wanaosema kuwa hili linahusiana na yale maradhi ya khatari na si yale maradhi mepesi. Ni yapi maoni yako?
Jibu: Naonelea kuwa inatakiwa kumkumbusha mgonjwa kufanya tawbah na kuusia. Tawbah na kuusia ni mambo yamewekwa katika Shari´ah wakati wowote ule. Lakini mtu afanye hivo kwa njia isiyomshtua mgonjwa1.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/71)
Imechapishwa: 17/06/2017
https://firqatunnajia.com/1-imesuniwa-kumkumbusha-mgonjwa-kuacha-anausia-na-kutubia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)