7- Kutawadha kati ya vitendo viwili vya ndoa
Akimwingilia ile sehemu inayokubalika Kishari´ah kisha akataka kumrudilia, basi anatakiwa kutawadha kutokana na maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Atapomwingilia mmoja mkewe kisha akataka kumrudilia basi atawadhe [kati yake wudhuu´].”
Katika upokezi mwingine imekuja:
“Atapomwingilia mmoja mkewe kisha akataka kumrudilia basi atawadhe wudhuu´ wa swalah, [kwani kufanya hivo kuna uchangamfu wa kurudi].”[1]
[1] Ameipokea Muslim (01/171), Ibn Abiy Shaybah katika “al-Muswannaf” (02/51/1), Ahmad (03/28), Abu Nu´aym katika “at-Twib” (01/12/02) na nyongeza ni yake na wasiokuwa wao kupiti Hadiyth ya Abu Sa´iyd al-Khudriy. Nimeipokea katika “Swahiyh Sunna Abiy Daawuud” kwa nambari. 216.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 107
- Imechapishwa: 08/03/2018
7- Kutawadha kati ya vitendo viwili vya ndoa
Akimwingilia ile sehemu inayokubalika Kishari´ah kisha akataka kumrudilia, basi anatakiwa kutawadha kutokana na maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Atapomwingilia mmoja mkewe kisha akataka kumrudilia basi atawadhe [kati yake wudhuu´].”
Katika upokezi mwingine imekuja:
“Atapomwingilia mmoja mkewe kisha akataka kumrudilia basi atawadhe wudhuu´ wa swalah, [kwani kufanya hivo kuna uchangamfu wa kurudi].”[1]
[1] Ameipokea Muslim (01/171), Ibn Abiy Shaybah katika “al-Muswannaf” (02/51/1), Ahmad (03/28), Abu Nu´aym katika “at-Twib” (01/12/02) na nyongeza ni yake na wasiokuwa wao kupiti Hadiyth ya Abu Sa´iyd al-Khudriy. Nimeipokea katika “Swahiyh Sunna Abiy Daawuud” kwa nambari. 216.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Aadaab-uz-Zafaaf, uk. 107
Imechapishwa: 08/03/2018
https://firqatunnajia.com/09-kutawadha-kati-ya-vitendo-viwili-vya-ndoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)