100- Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema wakati Ramadhaan ilipoingia:
“Mwezi huu umekufikieni. Ndani yamo mna usiku ambao ni bora kuliko miezi elfu moja. Mwenye kunyimwa kheri zake basi kwa kweli amenyimwa kheri zote. Hakuna mwenye kunyimwa kheri zake isipokuwa yule aliyenyimwa kikweli.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah kwa mlolongo wa wapokezi mzuri – Allaah akitaka.
[1] Nzuri na Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/586)
- Imechapishwa: 26/05/2018
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
100- Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema wakati Ramadhaan ilipoingia:
“Mwezi huu umekufikieni. Ndani yamo mna usiku ambao ni bora kuliko miezi elfu moja. Mwenye kunyimwa kheri zake basi kwa kweli amenyimwa kheri zote. Hakuna mwenye kunyimwa kheri zake isipokuwa yule aliyenyimwa kikweli.”[1]
Ameipokea Ibn Maajah kwa mlolongo wa wapokezi mzuri – Allaah akitaka.
[1] Nzuri na Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/586)
Imechapishwa: 26/05/2018
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/09-hadiyth-mwezi-huu-umekufikieni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)