184 – Amesimulia tena:
“Aliomba maji ambapo akatawadha kisha akaanza kucheka. Akawaambia wenzie: “Hamniulizi ni kipi kimenichekesha?” Wakasema: “Ni kipi chenye kukuchekesha, ee kiongozi wa waumini?” Akasema: “Nilimwona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitawadha kama nilivyotawadha kisha akaanza kucheka na akasema: “Hamniulizi ni kipi kimenichekesha?” Wakasema: “Ni kipi chenye kukuchekesha, ee Mtume wa Allaah?” Akasema: “Mja akiomba maji ya kutawadha ambapo akaosha uso wake, basi Allaah huondosha makosa yote aliyofanya kwa uso wake. Akiosha mikono yake basi inakuwa vivyo hivyo, na akisafisha miguu yake inakuwa vivyo hivyo.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi nzuri na Abu Ya´laa. al-Bazzaar ameipokea kwa cheni ya wapokezi Swahiyh na amezidisha juu yake:
“Na akifuta kichwa chake basi inakuwa vivyo hivyo.”
[1] Swahiyh kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/191)
- Imechapishwa: 14/04/2021
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
184 – Amesimulia tena:
“Aliomba maji ambapo akatawadha kisha akaanza kucheka. Akawaambia wenzie: “Hamniulizi ni kipi kimenichekesha?” Wakasema: “Ni kipi chenye kukuchekesha, ee kiongozi wa waumini?” Akasema: “Nilimwona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitawadha kama nilivyotawadha kisha akaanza kucheka na akasema: “Hamniulizi ni kipi kimenichekesha?” Wakasema: “Ni kipi chenye kukuchekesha, ee Mtume wa Allaah?” Akasema: “Mja akiomba maji ya kutawadha ambapo akaosha uso wake, basi Allaah huondosha makosa yote aliyofanya kwa uso wake. Akiosha mikono yake basi inakuwa vivyo hivyo, na akisafisha miguu yake inakuwa vivyo hivyo.”[1]
Ameipokea Ahmad kwa cheni ya wapokezi nzuri na Abu Ya´laa. al-Bazzaar ameipokea kwa cheni ya wapokezi Swahiyh na amezidisha juu yake:
“Na akifuta kichwa chake basi inakuwa vivyo hivyo.”
[1] Swahiyh kupitia zengine.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/191)
Imechapishwa: 14/04/2021
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/09-hadiyth-mja-akiomba-maji-ya-kutawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)