57- Ibn Hibbaan vilevile ameipokea katika “as-Swahiyh” yake kupitia kwa Abu Hurayrah ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kila kitendo kina shauku na kila shauku ina muda wake. Ikiwa mwenye nayo ni mwenye kufanya vizuri na kati kwa kati, basi wekeni matarajio kwake. Na kama ananyooshewa vidole, basi msimuhesabu.”[1]
Shauku ya vijana ni mwanzo na mwisho wao.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/131)
- Imechapishwa: 27/04/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
57- Ibn Hibbaan vilevile ameipokea katika “as-Swahiyh” yake kupitia kwa Abu Hurayrah ambaye ameeleza kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kila kitendo kina shauku na kila shauku ina muda wake. Ikiwa mwenye nayo ni mwenye kufanya vizuri na kati kwa kati, basi wekeni matarajio kwake. Na kama ananyooshewa vidole, basi msimuhesabu.”[1]
Shauku ya vijana ni mwanzo na mwisho wao.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/131)
Imechapishwa: 27/04/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/09-hadiyth-kila-kitendo-kina-shauku-na-kila-shauku-ina-muda-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)