Qur-aan tukufu yote inazungumzia Tawhiyd:
1- Inaamrisha kumwabudu Allaah pekee na kutomwabudu mwengine yeyote.
2- Izungumzie malipo ya wapwekeshaji na adhabu ya washirikina huko Aakhirah pamoja na kuwanusuru wapwekeshaji na kuadhibiwa kwa washirikina duniani.
3- Iamrishe utiifu na kukataza maasi, mambo ambayo ni haki za Tawhiyd na mambo yenye kuikamilisha.
4- Iamrishe kuwa na mapenzi kwa wapwekeshaji na kuwa na chuki kwa washirikina, mambo ambayo yanapelekea katika Tawhiyd.
5- Itoe khabari kuhusu Allaah, majina Yake na sifa Zake, mambo ambayo yanapelekea kumpenda, kumwogopa na kutaraji yale yaliyoko Kwake. Qur-aan tukufu yote ni Tawhiyd, kama alivosema ´Allaamah Ibn-ul-Qayyim.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: I´aanat-ul-Mustafiyd bi Sharh Kitaab-it-Tawhiyd, uk. 15
- Imechapishwa: 10/09/2019
Qur-aan tukufu yote inazungumzia Tawhiyd:
1- Inaamrisha kumwabudu Allaah pekee na kutomwabudu mwengine yeyote.
2- Izungumzie malipo ya wapwekeshaji na adhabu ya washirikina huko Aakhirah pamoja na kuwanusuru wapwekeshaji na kuadhibiwa kwa washirikina duniani.
3- Iamrishe utiifu na kukataza maasi, mambo ambayo ni haki za Tawhiyd na mambo yenye kuikamilisha.
4- Iamrishe kuwa na mapenzi kwa wapwekeshaji na kuwa na chuki kwa washirikina, mambo ambayo yanapelekea katika Tawhiyd.
5- Itoe khabari kuhusu Allaah, majina Yake na sifa Zake, mambo ambayo yanapelekea kumpenda, kumwogopa na kutaraji yale yaliyoko Kwake. Qur-aan tukufu yote ni Tawhiyd, kama alivosema ´Allaamah Ibn-ul-Qayyim.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: I´aanat-ul-Mustafiyd bi Sharh Kitaab-it-Tawhiyd, uk. 15
Imechapishwa: 10/09/2019
https://firqatunnajia.com/08-tawhiyd-yote-ni-tawhiyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)