731- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Pengine mmoja wenu anasubiri achukue zizi la kondoo na kwenda nao mbali masafa ya maili moja au maili mbili ambapo akakosa chakula ikambidi asogee mbele na swalah ya ijumaa ikamfikia na asende na wala asiishuhudie [na swalah ya ijumaa nyingine ije ambapo na wala asiishuhudie na ije swalah ya ijumaa nyingine na asiishuhudie][1] mpaka kupigwe muhuri kwenye moyo wake?”[2]
[1] Ziada iko kwa Ibn Maajah na Ibn Khuzaymah na inatiliwa nguvu na Hadiyth inayofuatia.
[2] Nzuri kupitia zengine.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/452)
- Imechapishwa: 02/05/2020
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
731- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Pengine mmoja wenu anasubiri achukue zizi la kondoo na kwenda nao mbali masafa ya maili moja au maili mbili ambapo akakosa chakula ikambidi asogee mbele na swalah ya ijumaa ikamfikia na asende na wala asiishuhudie [na swalah ya ijumaa nyingine ije ambapo na wala asiishuhudie na ije swalah ya ijumaa nyingine na asiishuhudie][1] mpaka kupigwe muhuri kwenye moyo wake?”[2]
[1] Ziada iko kwa Ibn Maajah na Ibn Khuzaymah na inatiliwa nguvu na Hadiyth inayofuatia.
[2] Nzuri kupitia zengine.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/452)
Imechapishwa: 02/05/2020
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/08-hadiyth-pengine-mmoja-wenu-anasubiri-achukue-zizi-la-kondoo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)